@miltonwilliam32983 years agoOkwi ni mhimu ndani ya chama maana mafanikio yake yanajulikana awapo kundini. Lakini pia club bingwa inahitaji watu wenye busara kama okwi na water bwalya. 1
@
@musasolomonbomani42583 years agoMbona wanasema juma shabani ameenda yanga kelli naitwa musa solomoni kutoka singida mkalama.
@
@evansmanyili5803 years agoAchen mambo ya ajabu nyie waandishi kama hanna cha kutuambia in bora mwe kimya tyu, ni kitu gani kakisema apo okwi kama sio porojo nyingi tyu za kwako, upuuzi tyu.
@
@francesmkude85033 years agoNjoo kaka tupara raha zaid mpaka utopolo waone gere.
@
@mamamama26573 years agoRudi hujakatazwa uje na ronaldo messi neymer ili mwakani mlete kombe la afrika.
Related videos for Sikia Alichosema Emmanuel Okwi Baada Ya Kusajiliwa tena Na simbaMJIANDAE WANAMSIMBAZI,NARUDI TENA: