Duration 2:8

WANAUME WALIVYOSHINDANA KUBEBA WATOTO MGONGONI, MSHINDI AZAWADIWA

15 999 watched
0
63
Published 8 Mar 2021

Hivi ndivyo Wanaume wa Manispaa ya Mtwara Mikindani walivyoshindana kubeba Watoto huku Mshindi wa kwanza aliyembeba Mtoto vizuri na kwa haraka akizawadiwa Pesa Taslimu, ni kwenye Maadhimisho ya siku ya Wanawake. #MalkiawaNguvu2021

Category

Show more

Comments - 79