Fainali ya Kombe la Shirikisho kwa msimu wa 2019/2020 imepigwa leo nakushuhudia Simba SC wakibeba taji lao la tatu msimu huu mbele ya Namungo FC wageni katika michuano hii. Taji hili linakuwa la pili kwa upande wa Simba na inakuwa klabu pekee iliyobeba #ASFC mara mbili.
#AzamSportsHD na #AzamSports2 #AzamTVMax #AzamSportsFederationCup #ASFCUpdates #ASFCFinal2020
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► https://bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/
►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz
►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz