Mchungaji Angelus Mbawala wa Kanisa la TAG Madizini mjini Songea ametoa rai kwa waumini wa kanisa hilo kusimamia wokovu kwa maneno na vitendo ili kupambana na adui shetani ambaye ametangaza vita na waliookoka .Alikuwa anahubiri katika kanisa la TAG Nazareth la Mwengemshindo mjini Songea wakati anatangaza uchumba wa Alex Komba na Heliet Mahay
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for KUOKOKA NI KUTANGAZA VITA NA SHETANI: