SIKU ZA HATARI ZAIDI KUSHIKA MIMBA MWANAMKE BAADA YA HEDHI (NDANI YA SIKU 28)
Habari ndugu mtazamaji leo nakuletea video mpya inayokufafanulia vizuri siku zote za salama na za hatari kwa mwanamke.
Ni vema utazame mpaka mwisho video hii itakusaidia kujua kuhesabu siku vizuri, na kuepuka madawa ambayo yanauwezekano mkubwa wa kukuletea madhara.
TAFADHARI BOFYA BATANI LA SUBSCRIBE NA KENGERE ITAKAYOTOKEA PEMBENI YAKE, HAPO JUU ILI KILA VIDEO NTAKAYOILETA UWE WA KWANZA KUIPATA
@anithaabanza11633 years agoJamani naomba unisaidie naomba yako tuwasiliane ndugu.
@
@jenniphergiovane26883 years agoMm nauliza unaweza kupata mimba ukiwa unahisi dalili za priond? 2
@
@jenniphergiovane26883 years agoYaan unahisi kuingia priond ukafanya mpenz.
@
@fardaamry49593 years agoEt kaka samahani mie nimeingia period tarehe 13/8/2021 na siku zote hapo sijakutana na mwanaume lakini tarehe 29/8/2021 nimekutana na mwanaume je naweza kupata mimba? 1
@
@jahialiali70933 years agoMm mzungunguko wangu ni wa 28 nimejaribu sai miaka 2 sijashika. 1
@
@estherandeso42332 years agoNimefanya mapenzi asubuhi jioni nikanza period jioni nko na maumivu makali xana ya tumbo shidah ni nini.
@
@allyramadhani12223 years agoDokta naomba nijue na siku ya 15 je unaweza kupata mtoto wa jinsia ngani kwa mzunguko wa siku 28.
@
@serahwangui87582 years agoNaweza fanya nini niweze kuupata ujauzito haraka?
@
@makilabachampionkasmaombi56753 years agoHello naomba namba zako ilituasiliyane kidogo kaka.
@
@halimamohammed69223 years agoDoctor je km unaigia siuzako tare moja nauwa unaeda siku 3 tu je unaisabuje.
@
@magretmakongolosi71693 years agoSamahan naomba kuuliza swali kwa nn hedhi ujjrudia mara mbl kwa mwezi na je swz kupata uja uzito?
@
@jallyokeillah17803 years agoWengine tuna mzunguko wasiku 33 sasa mbona junatuambia.
@
@nasraaman64492 years agoSamahan naukitak kujua kam mimb imeingia ndan ya izo ck 18.
Related videos for SIKU ZA HATARI ZAIDI KUSHIKA MIMBA MWANAMKE BAADA YA HEDHI (NDANI YA SIKU 28):