@leonardkayolo73143 years agoHongereni sana azam tv, hakika mmeieshimisha ligi ya tanzania. Mungu azidi kuwabariki daima. 1
@
@guccij62363 years agoSoccer la bongo mimba changa yani bingwa anatangazwa kwenye vipolo. 1
@
@sirbinladen7863 years agohabar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za asili mbali bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia youtube andika. ...Expand2
@
@samsonezekiel52393 years ago2028 wapi tanzania au southafrica anayetangaza atakuwaje mbona mbali sana kweli tanzania bichwa la mwendawazimu.
@
@omarylukindo53063 years agoSs mwaka huo si wakina sarpong tutakosa hiyomsimu huu, maana mnatutamanisha halaf kumbe tuendelee kula mtori.
@
@mussamsingi18673 months agoJamani refa wa leo kutoka geita nyankumbu ni mwanachama wa yanga vipi mwenyekiti wa waamuzi tz unapeleka refa mwanachama wa ynga halafu anapendelea waziwazi.
@
@kadofresh41323 years agoAsa vina mana gani ivyo mbna kama tunayeyushana yaani imagine ety 2028 ata aibu awana ety.
@
@habibrwegoshora66243 years agoYanga wajipange kwa unyama wa tff. Hapo pana kazi.
@
@daudkihava85283 years agoWangetutangazia hizo taarifa zao mwaka 2027 kama tutakuwa bado tunaishi. Sasa hivi hizi ni kama siasa za uchaguzi wa tff unaokuja. 1
@
@mussamsingi18673 months agoLeo yanga 2. 2. 2024 kaitaba refa anawabeba na kibendera no1 mpira wetu unakwenda wapi tff na nassoro hamduni vipi wewe hamduni ulikuwa refa mzuri vipi unabeba marefa wa bovu kama huyu wa leo.
Related videos for BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA KULAMBA MILIONI 700/AZAM NA TFF WAMESAINI MKATABA BILIONI 225.6: