Duration 12:31

Mikate ya kuku | Mapishi rahisi ya mikate /banzi za kuku | Mikate ya kuku ya caterpillar .

17 882 watched
0
290
Published 13 May 2020

#mapishiyakiswahili #banzizakuku #mikateyakuku #mikateyakukuyacaterpillar Website:rukiaskitchen.com Instagram: rukias _kitchen Facebook: Rukias kitchen Cookpad: Rukias kitchen English recipe follow the link➡️ /watch/cgFopLlYeAHYo For more swahili videos follow ➡️ /channel/UC9CY2wU1qjkzfajJyNf0d9w ➡️ /channel/UCa0DYCvTG7hF7D5g4YWMN-w ➡️ /channel/UChJWv3l3-n2WgLNvyGR6dWw Mahitaji ya Mkate :- Maziwa Maji Chumvi Sukari Unga wa ngano Mafuta Yai Hamira Mahitaji ya kuku: Kuku Chumvi Kitunguusaumu na tangawizi Ndimu 1 Pilipiliboga Njegere /peas Karoti Majani ya giligilani/dania Kitunguu maji Pilipiliimanga Mozarella cheese Maji Mafuta

Category

Show more

Comments - 61
  • @
    @RukiaLaltia4 years ago If you would like to watch this video in English press the link 5
  • @
    @bintyally22644 years ago Mashallah il cjaelew hiyo cheese n nin.
  • @
    @namiaabdallah94764 years ago Nazmia abdullah unafundisha vizurisana asante.
  • @
    @RaniyahAnwar4 years ago Ma shaa allah nmependa sana design ya juu and they look so soft on the inside. 2
  • @
    @akmarakram26344 years ago Shukran sana dada, kwenye jiko tunafanya je naomba unilekeze.
  • @
    @shamsamuhamed93064 years ago Mashallah nimependa dear nikuulize hizi peas hauzichemshi or ziko sawa tu ukizikaanga.
  • @
    @aminanoor31304 years ago Naweza tumia nyama ya kusaga badala ya kuku?
  • @
    @lokinantongun76634 years ago Asante sana rukia, how can use gluten free flour?
  • @
    @husnashindano11924 years ago Shukran sana rukiya kwa mkate mtam
    ila nina swali apa ajili mda huu nataka kupika mkate kama uyo nifahamishe apa sister robo 3 katika maji na maziwa sijaelewa bado ntavipima vp?
  • @
    @wardaridhwankassim47744 years ago Hvi ukhty rukia vya samaki na kuku pishi ndo hilo?
  • @
    @ladymuna49454 years ago Asalam alaykum daa rukia. Mm nimeipenda hii mikate. Swali langu ni jee ni lazima kupaka mayai wakati wa kuchoka? Au pia wawezachoma hivyo?
  • @
    @hasinarashid27684 years ago Dadakatika vpimo ututajie kwa lita ama kilo lakn hivyo vikombe hatunavyo mpenz.
  • @
    @ethannando68394 years ago Kama sina maziwa ya maji ya unga yanafaa.
  • @
    @wardaridhwankassim47744 years ago Nimetafta hili pishi nashkuru umelionyesha lakn nimepika leo vinaendana ndana.
  • @
    @maryamammar74044 years ago Naomba kuuliza hapa kama unga umebaki naweza kuueka ktk friza?