Duration 3:39

Magoli matatu Simba ikitoa kichapo cha 3-0 kwa Mtibwa Sugar

153 373 watched
0
686
Published 11 Feb 2020

Wekundu wa Msimbazi Simba SC wamepata ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Magoli ya Simba yamefungwa na John Bocco, Mohamed Hussein na Hassan Dilunga. Tazama Taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://play.google.com/store/apps/details?id=com.azamtv.max.media Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

Category

Show more

Comments - 124